Tuesday, August 26, 2014
Tuesday, August 5, 2014
WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA MAREKANI JOHN KERRY ASISITIZA MAZUNGUMZO KATI YA ISRAEL NA PALESTINA
Waziri wa Mambo ya Nje
wa Marekani John Kerry amezitaka pande mbili zinazopingana Israel na Palestina
kutia maanani usitishwaji wa mapigano huko ukanda wa Gaza na kuketi katika meza
ya mazungumzo.
Bwana Kerry ameiambia
BBC kuwaa ni lazima kutia maanani katika pande hizo mbili kuridhiana na kusema
kwamba Israel inayo haki ya kujitetea na kujilinda dhidi ya mashambulizi ya
maroketi yanayorushwa na Palestina na kukilaumu kikundi cha Hamas kwa mashambulizi
hayo lakini pia ametambua kile alichokiita uharibifu mkuwa wa mali na maisha ya
watu.
Maelfu ya wapalestina
waliokua katika ukanda wa Gaza wamerejeshwa makwao chini ya uangalizi wa umoja
wa mataifa katika siku ya kwanza ndani ya saa sabini na mbili za makubaliano ya
usitishwaji mapigano baina ya vikundi vya askari wa Israel na Palestina.
Israel imetuma ujumbe
huko Cairo ,Misri kujadili juu ya Palestina kusitisha mapigano kwa kipindi
kirefu.
Subscribe to:
Comments (Atom)
Recent
Weekly
-
UKIJUA FAIDA YA KITUNGUU MAJI HUTAACHA KUKITUMIA Baadhi ya magonjwa ambayo hadi sasa haijafahamika tiba yake katika hospitali zetu yana...
-
TANZANIA PETROLEUM DEVELOPMENT CORPORATION CAREER OPPORTUNITIES Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) is a...
-
The Tanzania Library Service: A Review of Recent Literature By Cecelia Dahlgren Abstract Gives a history of the Tanzania Library Se...
-
14 SEPTEMBER, 2013 Aston Villa v Newcastle United Everton v Chelsea Fulham v West Bromwich Albion Hull City v Cardiff City Man...
-
Bulgarian politician Ahmed Dogan looks at the gunman as he holds a gun at his head and misfires A 25-year-old man, pictured ...
-
Padre E. Mushi Paroko wa parokia ya Minara Miwili Zanzibar ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiofahamika. Hii ni gari aliyokuwamo...
-
Legend: Film director Michael Winner has died aged 77 after a long battle with liver disease Prolific: Winner directed more than...
-
Taarifa zilizopatikana jana jioni zinaeleza kuwa aliyewahi kuwa muigizaji katika kikundi cha Kaole,(pichani enzi za uhai wake) ,aliyekuwa...
-
Mheshimiwa Naibu Waziri wa Fedha Saada Salum akiwasili chuo cha uhasibu kurasini Brass Bend ikimpokea mgeni rasmi Mheshimiwa...
-
TAARIFA YA MATOKEO YA MITIHANI YA MAARIFA (QT) NA KIDATO CHA NNE (CSEE) ILIYOFANYIKA OKTOBA 2012 1.0 ...

