Uzinduzi wa Piga kitabu na LAPF ulikua wa staili ya aina yake kama unavyoonekana katika picha
Waziri wa Nchi ofisi ya waziri Mkuu Tamisemi Mh. Hawa Ghasia akikabidhi mfano hundi kwa Bwana Rolland Lyamula ambaye ni mwanachama wa LAPF ambaye amenufaika na mkopo wa Elimu
No comments:
Post a Comment