Samwel Etoo mweny namba 29 mgongoni akifunga goli la kwanza kwa Chelsea katika dakika ya nne ya mchezo kuanza.
Eto'o akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza
Wachezaji wa Chelsea wakishangilia ushindi wa goli la pili lililofungwa na Cahil
Gareth Bale akimkumbatia Christiano Ronaldo baada ya mreno huyo kupachika goli dhidi ya Shalke 04 jana.
0 Comment to "CHELSEA NA REAL MADRID ZATINGA ROBO FAINALI LIGI YA CLUB BINGWA ULAYA"
Post a Comment