Tuesday, August 26, 2014
Tuesday, August 5, 2014
WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA MAREKANI JOHN KERRY ASISITIZA MAZUNGUMZO KATI YA ISRAEL NA PALESTINA
Waziri wa Mambo ya Nje
wa Marekani John Kerry amezitaka pande mbili zinazopingana Israel na Palestina
kutia maanani usitishwaji wa mapigano huko ukanda wa Gaza na kuketi katika meza
ya mazungumzo.
Bwana Kerry ameiambia
BBC kuwaa ni lazima kutia maanani katika pande hizo mbili kuridhiana na kusema
kwamba Israel inayo haki ya kujitetea na kujilinda dhidi ya mashambulizi ya
maroketi yanayorushwa na Palestina na kukilaumu kikundi cha Hamas kwa mashambulizi
hayo lakini pia ametambua kile alichokiita uharibifu mkuwa wa mali na maisha ya
watu.
Maelfu ya wapalestina
waliokua katika ukanda wa Gaza wamerejeshwa makwao chini ya uangalizi wa umoja
wa mataifa katika siku ya kwanza ndani ya saa sabini na mbili za makubaliano ya
usitishwaji mapigano baina ya vikundi vya askari wa Israel na Palestina.
Israel imetuma ujumbe
huko Cairo ,Misri kujadili juu ya Palestina kusitisha mapigano kwa kipindi
kirefu.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Recent
Weekly
-
UKIJUA FAIDA YA KITUNGUU MAJI HUTAACHA KUKITUMIA Baadhi ya magonjwa ambayo hadi sasa haijafahamika tiba yake katika hospitali zetu yana...
-
TAARIFA YA MATOKEO YA MITIHANI YA MAARIFA (QT) NA KIDATO CHA NNE (CSEE) ILIYOFANYIKA OKTOBA 2012 1.0 ...
-
The Tanzania Library Service: A Review of Recent Literature By Cecelia Dahlgren Abstract Gives a history of the Tanzania Library Se...
-
Stunning: Jennifer Lopez looked incredible in a nude coloured dress as she appeared on Jimmy Kimmel Live When the funnyman host ...
-
Fun in the snow: David Beckham spent the day sledding with his sons on Primrose Hill on Sunday afternoon The footballer looked casual b...
-
L e a di n g Ch a n g e & T ea m B ui l di n g A r usha Moro g o ro Dodoma D e p a rtme n tal/ S e c...
-
EAST AFRICAN COMMUNITY LAKE VICTORIA BASIN COMMISSION SECRETARIAT Lake Victoria Basin Commission (LVBC) is a specialized Ins...
-
INTERNATIONAL ICT COMPANY Date Listed: May 16, 2013 Email Address: Phone: +255 774 116 054 Area: Dar Es Salaam Applicatio...
-
Mnamo tarehe 03 Mei, 2013 Serikali kupitia Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Mheshimiwa Wiliam Lukuvi (Mb) ilitoa Kauli ya Serik...
-
CHUO CHA KIU-DCC KUSIMAMISHWA KUTOA MAFUNZO YA SHAHADA ZA UZAMILI NA UZAMIVU Kampala International University, Kampasi ya ...