Taarifa zilizopatikana jana jioni zinaeleza kuwa aliyewahi kuwa muigizaji katika kikundi cha Kaole,(pichani enzi za uhai wake) ,aliyekuwa akitambulika kwa jina la Mlopelo amefarika dunia mapema jana katika hospitali ya Temeke,jijini Dar,kwa mujibu wa ndugu wa karibu wa marehemu wamesema Mlopelo amefarika mchana wa jana kwenye hospitali ya Temeke, na kwamba shughuli zote za Msiba zipo nyumbani kwao Temeke Wailess mtaa wa Boko
Thursday, November 22, 2012
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
- Recent
- Weekly
- Comment
Recent
Weekly
-
UKIJUA FAIDA YA KITUNGUU MAJI HUTAACHA KUKITUMIA ...
-
TANZANIA PETROLEUM DEVELOPMENT CORPORATION ...
-
Bulgarian politician Ahmed Dogan looks at the...
-
MWALIMU JULIUS NYERERE MEMORIAL SCHOLARSHIP FUND ...
-
The Tanzania Library Service: A Review of Recent...
0 Comment to "MLOPELO AMEFARIKA DUNIA"
Post a Comment