Thursday, November 22, 2012

MLOPELO AMEFARIKA DUNIA

Taarifa zilizopatikana jana jioni zinaeleza kuwa aliyewahi kuwa muigizaji katika kikundi cha Kaole,(pichani enzi za uhai wake) ,aliyekuwa akitambulika kwa jina la Mlopelo amefarika dunia mapema jana katika hospitali ya Temeke,jijini Dar,kwa mujibu wa ndugu wa karibu wa marehemu wamesema Mlopelo amefarika mchana wa jana kwenye hospitali ya Temeke, na kwamba shughuli zote za Msiba zipo nyumbani kwao Temeke Wailess mtaa wa Boko

Share this

Artikel Terkait

0 Comment to "MLOPELO AMEFARIKA DUNIA"

Post a Comment