Sunday, December 23, 2012

TANZANIA INSTITUTE ACCOUNTANCY GRADUATION CEREMONY


Mheshimiwa Naibu Waziri wa Fedha Saada Salum akiwasili chuo cha uhasibu kurasini

Brass Bend ikimpokea mgeni rasmi

Mheshimiwa Naibu Waziri wa Fedha Saada Salum akiwa na mkuu wa chuo cha uhasibu kulia wakielekea kuzindua jengo la utawala

Baadh ya viongozi wa Taasisi

Mheshimiwa Naibu Waziri wa Fedha Saada Salum akizindua jengo la utawala

Mzee Boma akiwa na baadhi ya viongozi wa serikali ya wanafunzi

Mheshimiwa Naibu Waziri wa Fedha Saada Salum akikata utepe kuashilia uzinduzi rasmi wa jengo


Jengo la utawala




Wafanyakazi wa chuo cha Uhasibu wakiwa katika picha ya pamoja na mheshimiwa Mheshimiwa Naibu Waziri wa Fedha Saada Salum


Mheshimiwa Naibu Waziri wa Fedha Saada Salum akielekea ofisi ya mkuu wa chuo kwa ajili ya kuvaa majoho ili kuanza msafara wa kwenye kutunuku vyeti

Baadhi ya walimu wa chuo cha Uhasibu Tanzania

Mheshimiwa Naibu Waziri wa Fedha Saada Salum katikati akiwa na Joho

Brass Band ikiongoza msafara


Msafara ukielekea kwenye uwanja wa mahafali



Mkuu wa chuo cha Uhasibu bwana Hanzuruni akitoa hotuba

Baadhi ya wahitimu wakiwa wameketi


Wadau wa TIA kutoka kushoto ni Mwasha, Kitandu na Sango

Roselinda na Caroline pia walikuwepo 

Baadhi ya wafanyakazi wa TIA wakiongozwa na dada Lucy Komino Ilikua ni wakati mwingine wa sherehe ya wafanyakazi baada ya mahafali kumalizika.

Wafanyakazi katika sherehe



Share this

Artikel Terkait

0 Comment to "TANZANIA INSTITUTE ACCOUNTANCY GRADUATION CEREMONY"

Post a Comment