Mheshimiwa Naibu Waziri wa Fedha Saada Salum akiwasili chuo cha uhasibu kurasini
Brass Bend ikimpokea mgeni rasmi
Mheshimiwa Naibu Waziri wa Fedha Saada Salum akiwa na mkuu wa chuo cha uhasibu kulia wakielekea kuzindua jengo la utawala
Baadh ya viongozi wa Taasisi
Mheshimiwa Naibu Waziri wa Fedha Saada Salum akizindua jengo la utawala
Mzee Boma akiwa na baadhi ya viongozi wa serikali ya wanafunzi
Mheshimiwa Naibu Waziri wa Fedha Saada Salum akikata utepe kuashilia uzinduzi rasmi wa jengo
Jengo la utawala
Wafanyakazi wa chuo cha Uhasibu wakiwa katika picha ya pamoja na mheshimiwa Mheshimiwa Naibu Waziri wa Fedha Saada Salum
Mheshimiwa Naibu Waziri wa Fedha Saada Salum akielekea ofisi ya mkuu wa chuo kwa ajili ya kuvaa majoho ili kuanza msafara wa kwenye kutunuku vyeti
Baadhi ya walimu wa chuo cha Uhasibu Tanzania
Mheshimiwa Naibu Waziri wa Fedha Saada Salum katikati akiwa na Joho
Brass Band ikiongoza msafara
Msafara ukielekea kwenye uwanja wa mahafali
Mkuu wa chuo cha Uhasibu bwana Hanzuruni akitoa hotuba
Baadhi ya wahitimu wakiwa wameketi
Wadau wa TIA kutoka kushoto ni Mwasha, Kitandu na Sango
Roselinda na Caroline pia walikuwepo
Baadhi ya wafanyakazi wa TIA wakiongozwa na dada Lucy Komino Ilikua ni wakati mwingine wa sherehe ya wafanyakazi baada ya mahafali kumalizika.
Wafanyakazi katika sherehe
0 Comment to "TANZANIA INSTITUTE ACCOUNTANCY GRADUATION CEREMONY"
Post a Comment