Monday, September 29, 2014

STOKE CITY WAIFUNGA NEWCASTLE 1 - 0

Peter Crouch akishangilia gori
Goli la mapema la Stoke City lililopachikwa na Peter Crouch kwa njia ya kichwa limezidi kumwongezea tumbo joto boss wa Newcastle Alan Pardew.

Katika dakika ya 15 Crouch aliruka juu na kukutana na krosi iliyotumwa na Victor Moses kutokea kushoto ambapo hakufanya ajizi akaukwamisha mpira wavuni.

Kipigo hicho sasa kimeamsha hasira za mashabiki wa Newcastle juu ya meneja wao Pardew.

Share this

Artikel Terkait

0 Comment to "STOKE CITY WAIFUNGA NEWCASTLE 1 - 0"

Post a Comment