Peter Crouch akishangilia gori
Goli la mapema la Stoke City lililopachikwa na Peter
Crouch kwa njia ya kichwa limezidi kumwongezea tumbo joto boss wa Newcastle
Alan Pardew.
Katika dakika ya 15 Crouch aliruka juu na kukutana
na krosi iliyotumwa na Victor Moses kutokea kushoto ambapo hakufanya ajizi
akaukwamisha mpira wavuni.
Kipigo hicho sasa kimeamsha hasira za mashabiki wa
Newcastle juu ya meneja wao Pardew.
0 Comment to "STOKE CITY WAIFUNGA NEWCASTLE 1 - 0"
Post a Comment