Monday, November 12, 2012

AJALI JIJINI MBEYA

Ajali nyingine yatokea jijini Mbeya watu sita wafariki papo hapo
Bus aina ya toyota Hiace yeny namba T245 AMH iliyogongwa na roli la mizigo

Roli lililosababisha ajali na kuuwa abiria sita


Maiti zikiwa zimepakiwa katika gari la polisi


Majeruhi wakifikishwa katika hospital ya rufaa ya Mbeya


Share this

Artikel Terkait

0 Comment to "AJALI JIJINI MBEYA"

Post a Comment