Sunday, December 1, 2013

KOCHA MPYA WA AZAM FC AWASILI NCHINI

kocha Joseph Marius Omog raia wa Cameroon akipeana mkono na na Mwenyekiti wa timu hiyo Ndugu Said Mohammed Omog akionyesha jezi aliyokabidhiwa na Mwenyekiti wa Azam FC Kocha mpya wa klabu ya Azam FC ameingia nchini, klabu ya Azam inapenda kuufahamisha umma kuwa imeingia mkataba...

Tuesday, November 26, 2013

FINANCE AND ADMINISTRATION ASSISTANT – 1 position

REPOA is currently seeking applications from interested individuals for the position of Finance and Administration Assistant. JOB SUMMARY:  Reporting to the Senior Accountant, the job holder will provide the Department of Finance and Administration with financial and...

Wednesday, November 13, 2013

ZANZIBAR WAKAMATA MENO YA TEMBO

  Polisi nchini Tanzania wamekamata vipande elfu moja na ishirini na moja vya meno ya tembo vyenye uzito wa karibu kilo elfu tatu. Meno hayo ya tembo yamekamatwa katika bandari ya Zanzibar jana na watu wawili wanashikiliwa kwa tuhuma za kuhusika na meno hayo. Hata...

Friday, November 8, 2013

AZAM FC YAMTIMUA KOCHA

Huku ligi kuu soka Tanzania Bara ikiwa imekamilisha mzunguko wake wa kwanza, timu ya Azam FC ya Dar es Salaam imetangaza kusitisha mkataba na kocha wake mkuu Stewart Hall wa Uingereza kwa kile kilichoelezwa kama makubaliano ya pamoja. Kwa Mujibu wa taarifa iliyotolewa...

Wednesday, October 23, 2013

KAMANDA MSTAAFU WA POLISI JAMES KOMBE AFARIKI DUNIA

Aliyewahi kuwa Kamanda wa Polisi Kikosi cha usalama barabarani, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACP) mstaafu James Kombe amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya Ocean Road jijini Dar es Salaam. Akizungumzia kifo hicho Msemaji wa Jeshi la Polisi Nchini,...

Thursday, October 10, 2013

KAZI PCCB

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Wednesday, October 9, 2013