Thursday, November 29, 2012

KUITWA KWENYE USAILI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS                SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA    Kumb. Na. EA.7/96/01/C/67                                                                       ...

JENGO JIPYA LA CHUO CHA UHASIBU TANZANIA

Muonekano wa nje wa jengo hilo la Campus ya Dar es Salaam kwa nje Muonekano wa nje Mlango mkuu wa kuingilia Sehemu ya pembeni ya jengo Ngazi Kennedy, Hamis, na Kitandu wakishuka mjengoni Muonekano wa ndani katika jengo jipya Sehemu...

Wednesday, November 28, 2012

RAISI KIKWETE AZINDUA UKUMBI MPYA WA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI

Spika wa Bunge Anne Mkinda akimpokea Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya M. Kikwete wakati alipowasili katika ukumbi huo wa bunge Spika wa Bunge la Tanzania Mh. Anne Makinda akikaribishwa na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki Mh. Margret Natongo katika jengo...

Tuesday, November 27, 2012

CECAFA SENIOR CHALLENGE CUP 2012 FIXTURES

Match Day 5 28-11-2012 16:00 Somalia - : - Sudan   28-11-2012 18:00 Tanzania - : - Burundi Match Day 6 29-11-2012 16:00 Malawi - : - Eritrea   29-11-2012 18:00 Rwanda - : - Zanzibar Match Day 7 30-11-2012 16:00 Kenya -...

JB MPIANA KUTUMBUIZA DAR IJUMAA HII

JB Mpiana akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani kuhusu onyesho lake litakalofanyika ijumaa katika viwanja vya Leaders Club. ...

Monday, November 26, 2012

MSANII MWIGIZAJ MCHEKESHAJI SHARO MILIONEA AFARIKI DUNIA

Msanii/Muigizaji/Mchekeshaji Hussein Ramadhani Mtioeti (27) maarufu SHARO MILIONEA amefariki dunia katika ajali ya gari jijini Tanga. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Prudence Masawe, amethibitisha kutokea kwa ajali na kusema kuwa marehemu amefikwa na umauti baada ya gari...

Sunday, November 25, 2012

AJALI JIJINI MBEYA

Ajali hii imetokea maeneo ya barabara ya Mbalizi kuelekea Mabatini baada ya gari hilo mali ya Kampuni ya Vodacom kuvamia nguzo ya taa za barabarani. ...

Saturday, November 24, 2012

MKUU WA MAJESHI DRC AFUTWA KAZI

Mkuu wa majeshi nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo, amesimamishwa kazi huku uchunguzi ukiendelea kufuatia madai kuwa aliwauzia silaha makundi ya waasi yanaopambana na serikali ya nchi hiyo. Ripoti moja ya Umoja wa Mataifa, imemtuhumu, Generali Gabriel Amisi kwa kuendesha...

Thursday, November 22, 2012

MLOPELO AMEFARIKA DUNIA

Taarifa zilizopatikana jana jioni zinaeleza kuwa aliyewahi kuwa muigizaji katika kikundi cha Kaole,(pichani enzi za uhai wake) ,aliyekuwa akitambulika kwa jina la Mlopelo amefarika dunia mapema jana katika hospitali ya Temeke,jijini Dar,kwa mujibu wa ndugu wa karibu wa marehemu...

Wednesday, November 21, 2012

DI MATTEO AFUTWA KAZI

Roberto Di Matteo amefutwa kazi na klabu ya Chelsea, baada ya kuwa meneja kwa kipindi cha miezi minane. Di Matteo aliiwezesha Chelsea kuwa mshindi wa klabu bingwa barani Ulaya, na vile vile kupata Kombe la FA msimu uliopita, na mwezi Juni, alitia saini mkataba wa miaka miwli. Lakini...

VACANCY POST - Public Relations Officer II

Public Relations Officer II Muhimbili National Hospital Date Listed: Nov 15, 2012Phone: No Calls PleaseArea: Dar Es SalaamApplication Deadline: Nov 23, 2012 Position Description: Reports To: Senior Public Relations Officer        Duties and Responsibilities:                                        ...