Tuesday, January 29, 2013

LULU MICHAEL AACHIWA HURU KWA DHAMANA

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam jana imemwachia kwa dhamana msanii wa filamu, Elizabeth Michael 'Lulu' aliyekuwa anakabiliwa na kesi ya kumuua msanii mwenzake wa filamu Steven Kanumba Aprili 7, 2012 bila kukusudia baada ya kukamilisha taratibu zote za dhamana.
Lulu akishuka katika gari la polisi baada ya kuwasili mahakamani.

Kutoka kushoto ni mama mzazi wa Lulu Lucresia Karugila, wakili wa Lulu bwana Kibatala na Dk. Cheni wakijadili jambo wakati wakisubiri dhamana ya Lulu.

Lulu akiingia katika chumba cha msajili wa mahakama ili kukamilisha dhamana yake.

Lulu akitoka mahakamani na mama yake mzazi

Lulu akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani

Lulu akiwa ndani ya gari baada ya kukamilisha dhamana yake.

Share this

Artikel Terkait

0 Comment to "LULU MICHAEL AACHIWA HURU KWA DHAMANA"

Post a Comment