Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania, akiwa katika
picha ya Pamoja na Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) Joseph Sepp Blatter
na Rais w Shirikisho la Soka nchini Tanzania (TFF) Leodegar Chilla Tenga (kulia)
wakati Rais Kikwete na ujumbe wake walip0tembelea Makao Makuu ya FIFA mjini
Zurich,Switzerland Januari 23, 2013 kwa Mwaliko maalum wa FIFA.
Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania, akimweleza
jambo Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) Joseph Sepp Blatter (kulia)
kuhusiana na Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Leodeger Chilla Tenga.Rais wa FIFA Joseph Sepp Blatter akimkabidhi Rais Jakaya Kikwete bendera maalum ya FIFA.
Habari na Father Kidevu
0 Comment to "RAIS KIKWETE ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA FIFA"
Post a Comment