Hizi ni badhi tu ya
picha za songombingo lililotokea jana ndani ya ukumbi wa bunge,Wabunge wa
CHADEMA walipopambana na polisi.
Sugu akidhibitiwa na
askari wa bunge ndani ya ukumbi wa bunge huku akiwa ameng'ang'ania kipaza
sauti.
Hapa askari wa bunge
wakipambana na mhe Joseph Mbilinyi huko mhe akiwa ameshika mkono wa kipaza
sauti kufuatia kutoelewana ndani ya ukumbi wa bunge jana.
0 Comment to "HII NDIO TASWIRA HALISI YA VURUGU ZILIZOTOKEA BUNGENI JANA"
Post a Comment