Thursday, September 5, 2013

CHEKA APELEKA MKANDA BUNGENI - BAADA YA KUMPIGA MMAREKANI







Waziri Mkuu Mh,Mizengo Pinda katikati akiwa na mabondia Fransic Miyeyusho kushoto na Fransic Cheka wakati walipo tembelea bungeni Dodoma kwa ajili ya kutambua mchango wao na kuwapongeza




Waziri Mkuu Mh,Mizengo Pinda wanne kushoto akiwa na bingwa wa dunia wa mchezo wa masumbwi nchini Fransic Cheka baada ya kukaribishwa bungeni mjini Dodoma wengine kushoto Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D'  na bingwa wa mabara Fransic Miyeyusho kulia ni promota wa mchezo wa masumbwi nchini Mohamed Bawaziri.


Maji marefu akiwa na mabingwa wa mchezo wa masumbwi


 
 

Share this

Artikel Terkait

0 Comment to "CHEKA APELEKA MKANDA BUNGENI - BAADA YA KUMPIGA MMAREKANI"

Post a Comment