Friday, December 14, 2012

CHUO CHA UHASIBU KURASINI WAFANYA MNADA WA VITU MBALIMBALI

Viongozi wa mnada TIA dada Kalelema Kware na Bwana Kennedy Ndosi. Mnada huu utaendelea kesho kuanzia saa nne asubuhi


Baadhi ya watu waliohudhuria mnada huo ili kuweza kununua vitu mbalimbali

Milango na viti vilivyokua vikiuzwa


Mataili pamoja na Milango

Baadhi ya watu wakipakia vitu vyao

Komputa na vyuma mbalimbali vilivyokua vikiuzwa

Mapazia pia yalikuwepo

Viti na Matairi


Matairi pia yaliuzwa

Share this

Artikel Terkait

0 Comment to "CHUO CHA UHASIBU KURASINI WAFANYA MNADA WA VITU MBALIMBALI"

Post a Comment