Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akimkabidhi Rasimu ya Katiba mpya, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, baada ya
uzinduzi rasmi wa rasimu hiyo uliofanyika jana Juni 03, 2013 katika Viwanja vya
Karimjee jijini Dar es Salaam.
Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akimkabidhi Rasimu ya Katiba mpya, Makamu Mwenyekiti wa Jukwaa la
Wahariri, baada ya uzinduzi rasmi wa rasimu hiyo uliofanyika jana Juni 03, 2013
katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam. Katikati ni Waziri
Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Mizengo Pinda.
Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akimkabidhi Rasimu ya Katiba mpya, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar,
Maalim Seif Sharif Hamad, baada ya uzinduzi rasmi wa rasimu hiyo uliofanyika
jana Juni 03, 2013 katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam.
Katikati ni Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Mpya, Joseph Sinde
Warioba.
Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi
Rasimu ya Katiba mpya, Naibu Katibu Mkuu Mstaafu wa Umoja wa Mataifa,
Asha-rose Migiro, baada ya uzinduzi rasmi wa rasimu hiyo uliofanyika jana Juni
03, 2013 katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam. Kushoto kwa
Makamu, ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar,
Balozi Seif Idd
0 Comment to "UZINDUZI WA RASIMU MPYA YA KATIBA YA TANZANIA"
Post a Comment