Sunday, March 24, 2013

MAAFULIKO JIJINI DAR ES SALAAM

Licha ya wakazi wa mabondeni kutahadharishwa waondoke na serikali kuhama lakini baadhi ya wakazi walikaidi amri hiyo, amri hiyo kupingwa jana imeonyesha amri hiyo ya serikali ya kutaka  wakazi hao wahame imedhihirisha kwa mafuriko mafuriko hayo kufulika.

Picha inawaonyesha wakazi wa Jangwani jijini Dar es Salaam wakiwa nje ya Nyumba zao baada ya kutokea mafuriko kutokana na mvua iliyonyesha jana.
 
 
Gari la polisi lenye namba PT 0314 likisukumwa baada ya kuzimika barabarani kufuatia mvua kubwa iliyonyesha katika maeneo ya katikati ya jijini Dar es Salaam
 
Mtaa wa Azikiwe ukiwa umefurika maji ya mvua.
 
 
 
 

Share this

0 Comment to "MAAFULIKO JIJINI DAR ES SALAAM "

Post a Comment