Licha ya wakazi wa
mabondeni kutahadharishwa waondoke na serikali kuhama lakini baadhi ya wakazi
walikaidi amri hiyo, amri hiyo kupingwa jana imeonyesha amri hiyo ya serikali
ya kutaka wakazi hao wahame
imedhihirisha kwa mafuriko mafuriko hayo kufulika.
Picha inawaonyesha wakazi wa Jangwani jijini Dar es Salaam wakiwa nje ya Nyumba zao baada ya kutokea mafuriko kutokana na mvua iliyonyesha jana.
Gari la polisi lenye namba PT 0314 likisukumwa baada
ya kuzimika barabarani kufuatia mvua kubwa iliyonyesha katika maeneo ya katikati
ya jijini Dar es Salaam
Mtaa wa Azikiwe ukiwa umefurika maji ya mvua.
0 Comment to "MAAFULIKO JIJINI DAR ES SALAAM "
Post a Comment