Timu ya prison ya Mbeya imepata ajali eneo la Hare mkoani Tanga,wachezaji Issa Mwantika,Lugano Mwangama,Khalidi Fungabreki,Daudi Masungwe wamepoteza fahamu na kukimbizwa hospitali ya Tanga, chanzo cha ajali iyo ni baada gari aina ya COaSter kuacha njia na kupinduka baada kupigwa na mwanga mkali wa taa za gari walilokua wanapishana nalo jana usiku, hadi saa tano na dk hamsini jana usiku majeruhi walikuwa wakikimbizwa hospitali teule ya Muheza.
Wednesday, October 24, 2012
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Recent
Weekly
-
UKIJUA FAIDA YA KITUNGUU MAJI HUTAACHA KUKITUMIA Baadhi ya magonjwa ambayo hadi sasa haijafahamika tiba yake katika hospitali zetu yana...
-
TAARIFA YA MATOKEO YA MITIHANI YA MAARIFA (QT) NA KIDATO CHA NNE (CSEE) ILIYOFANYIKA OKTOBA 2012 1.0 ...
-
TANZANIA PETROLEUM DEVELOPMENT CORPORATION CAREER OPPORTUNITIES Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) is a...
-
Bulgarian politician Ahmed Dogan looks at the gunman as he holds a gun at his head and misfires A 25-year-old man, pictured ...
-
The Tanzania Library Service: A Review of Recent Literature By Cecelia Dahlgren Abstract Gives a history of the Tanzania Library Se...
-
14 SEPTEMBER, 2013 Aston Villa v Newcastle United Everton v Chelsea Fulham v West Bromwich Albion Hull City v Cardiff City Man...
-
MWALIMU JULIUS NYERERE MEMORIAL SCHOLARSHIP FUND SCHOLARSHIP APPLICATION FORM For Study in Tanzanian Universities 2015 (MASTE...
-
Padre E. Mushi Paroko wa parokia ya Minara Miwili Zanzibar ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiofahamika. Hii ni gari aliyokuwamo...
-
Vacancy No: CALL/D/2013/08 Title: Chief Information Officer Grade: D2 Contract type: Fixed-Term Appointment T...
0 Comment to "KIKOSI CHA PRISONS FC CHAPATA AJALI TANGA"
Post a Comment