Habar katika picha za vurugu zilizotokea Mbagara jijini Dar es Salaam baada ya mtoto Emmanuel Josephat kukojolea Quran
Mojawapo ya makanisa yanayosemekana kuharibiwa likiungua moto
Baadhi ya waandamanaji wakiokota mawe, tayari kwenda kufanyiza
Kanisa la Aglikana: picha ikionyesha vioo vimevunjika kufuatia kushambuliwa na waandamanaji hao
Muonekano wa kanisa la Anglikana
Kanisa la Sabato Mbagala Kizuiani likiwa limevunjwa vioo
Kanisa la Anglikana: Uharibifu zaidi uliofanyika
Kibao cha kanisa la Anglikana kikiwa kimevunjwa.
Baadhi ya wafanya vurugu wakipambana na polisi
Mabenchi ya kanisa la Anglikana yakiwa yametupwa nje
Baadhi ya vizuizi vilivyowekwa na waandamanaji katika eneo la Mbagala Kizuiani katika harakati za kupinga kitabu kitakatifu cha Quran kukojolewa na mtoto Emmanuel Josephat.
Polisi wakiondoka na baadhi ya watuhumiwa waliokamatwa
Vioo vya kanisa la sabato vilivyovunjwa
Baadhi ya watuhumiwa wa maandamano wakiwa chini ya ulinzi wa polisi
Moja ya magari la polisi yaliyoharibiwa
Baadhi ya waandamanaji waliokamatwa wakipandishwa kwenye gari la polisi
Baadhi ya watuhumiwa wakiwa wamekamatwa na polisi
Polisi katika harakati za kuthibiti fujo
Baadhi ya watuhumiwa wakipandishwa kwenye gari la polisi
Polisi wakiwavusha baadhi ya watuhumiwa waliowakamata kwenye mfereji
Gar aina ya Noah ya Clouds Media Group ikiwa imeharibiwa kwa mawe
Hamis Salum baba wa mtoto ambaye Quran yake imekojolewa akiongea
0 Comment to "“WAISLAM” WAFANYA VURUGU, WAHARIBU MAKANISA MBAGALA, BAADA YA MTOTO KUKOJOLEA QURAN"
Post a Comment