Bao la Kagera Sugar limepatikana dk ya 40 kipindi cha pili cha mchezo, Bao hilo limefungwa na mchezaji mahiri mzaliwa wa Kimbugu Muleba Temmy Alfonce.
Kocha wa Kagera Abdallah King Kibadeni
Safu imara ya Kagera Sugar ikiongozwa na goli kipa Andrew Ntalla na walinzi wake wa karibu kama Juma Nade na Kanoni Salim wanastahili pongezi.
0 Comment to "TIMU YA YANGA YAKUBALI KICHAPO CHA BAO 1 - 0 KUTOKA KWA KAGERA SUGAR"
Post a Comment