Mkuu wa Kikosi cha
Usalama Barabarani nchini, Mohammed Mpinga amewataka madereva wote nchini
kubadilisha leseni zao za zamani kwa kuwa zimebaki siku saba tu zoezi hilo
kumalizika, vinginevyo hatua za kisheria zitachukuliwa.
Akizungumza jana jijini
Dar es Salaam, Mpinga...
Licha ya wakazi wa
mabondeni kutahadharishwa waondoke na serikali kuhama lakini baadhi ya wakazi
walikaidi amri hiyo, amri hiyo kupingwa jana imeonyesha amri hiyo ya serikali
ya kutaka wakazi hao wahame
imedhihirisha kwa mafuriko mafuriko hayo kufulika.
Picha inawaonyesha...
Ubao wa Matokeo
unavyosomeka mara baada ya kumalizika kwa mechi kati ya Timu ya Taifa ya Tanzania
(Taifa Stars) dhidi ya Timu ya Taifa ya
Morocco
Kikosi cha kwanza cha Taifa Stars kilichocheza dhidi ya Morocco. Mpaka mwisho Taifa Stars 3 Morocco 1
Timu
ya...
Rais Xi Jinping, rais wa Uchina, ametia saini
mikataba kadha na Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania mjini Dar-es-salaam.
Rais Xi aliingia
Dar-es-salaam akitokea Moscow ambako ndiko alikoanza safari yake ya kwanza
katika nchi za nje tangu kutawazwa rasmi kuwa rais hivi...
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara
Daktari Shaban Mwinjaka akifafanua Jambo Katika Mkutano na
Wadau na Wajasiliamali Mkoani Kagera
Picha ya Pamoja Baada ya Kumalizika Mkutano na Wadau
Kwenye Mazingira ya Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kagera.
...
Mashua iliyokuwa
imebeba watu 160 imezama umbali wa kilometa 74 toka pwani ya Nigeria,
wanaosimamia shughuli za uokoaji wamesema.
Mashua hiyo, iliyoundwa
kwa mbao, ilianzia safari yake huko kusini-mashariki mwa Nigeria Ijumaa,
ikielekea Gabon, safari kati ya Afrika Magharibi...
Wanasheria wa rais
mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta, wameiomba Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya
Jinai, ICC, kumfutia mashitaka yanayomkabili mbele ya mahakama hiyo.
Bwana Kenyatta
amekanusha kuchochea ghasia baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2007.
Kikao maalum cha
mahakama...
Chelsea's Frank Lampard scores his 200th goal for
Chelsea against his old side West Ham
Chelsea are up to third
place in the Barclays Premier League after overcoming West Ham United at
Stamford Bridge after Tottenham Hotspur lost at home against Fulham.
Rafa Benitez’s side
leapfrogged...
Moshi mweupe ukiashilia upatikanaji wa Papa
Papa Francis
akihutubia
Papa Francis
akijitokeza
Kadinali
Jorge Mario Bergoglio wa Argentina amechaguliwa kuwa Papa mpya wa Kanisa
Katoliki.
Kadinali
Bergoglio anakuwa mtu wa kwanza kutoka Amerika kusini...
Moshi mweusi Vatican
Moshi
mweusi umetokea kwenye dari la hekalu ya Sistine mjini Roma, kumaanisha kuwa
makadinali walioko ndani ya hekalu wameshindwa kuafikiana juu ya Papa mpya
anayetarajiwa kuchaguliwa.
Moshi
mweupe utaashiria kupatikana kiongozi mpya wa kanisa...
Logistics Manager (Preferably Asian)
HR SOLUTIONS LTD
Date Listed: Mar 9, 2013
Phone: -
Area: Dar Es Salaam
Application Deadline: Mar 22,
2013
Start Date: Mar 25, 2013
Position Description:
Key Competencies
• Communication skills...