Mtuhumiwa namba moja wa
mashitaka 24 ya kuua bila kukusudia Raza Hussein Ladha (kushoto) akiwa chini ya
ulinzi wakati alipofikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar
es Salaam pamoja na watuhumiwa wenzake kumi.
Mtuhumiwa namba moja wa mashitaka 24 ya kuua bila kukusudia Raza Hussein Ladha
(kulia) na watuhumiwa wenzake kumi wakisubiri kupandishwa kizimbani, katika
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam
Habari na: Josephat Lukaza
0 Comment to "WATUHUMIWA WA JENGO LILILOPOROMOKA DAR WAFIKISHWA MAHAKAMANI"
Post a Comment