Mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara kati ya Timu ya
Simba SC na Azam FC ya chamazi, Mbagala, ulimalizika kwa sare ya 2-2, huku
kivutio kikubwa kikiwa ni mashabiki wa Yanga kuishangilia Simba SC.
Simba walianza kuongoza kwa bao mbili
zilizofungwa na Ramadhani Singano katika kipindi cha kwanza, baadae Kipre
Tchetche aliifungua Azam kwa njia ya penati, na bao la pili likafungwa
na Humphrey Mieno.
0 Comment to "SIMBA SC 2 - 2 AZAM FC"
Post a Comment